HAWA NDO WANAMUZIKI 5 MATAJIRI TANZANIA UTOKANAO NA MUZIKI WA BONGO FLEVA ...
Gumzo wasanii
1. DIAMOND
KWA ZAIDI YA MIEZI MITATU TIMU NZIMA YA THECHOICE ILIWEZA KUFANYA UTAFITI KWA KINA JUU YA KUFAHAMU WANAMUZIKI WA BONGO FLEVA WENYE MAFANIKIO ZAIDI KUTOKANA NA MUZIKI HUO,TIMU YA THECHOICE IMEWEZA PATA WANAMUZIKI WATANO WENYE MAFANIKIO ZAIDI KUTOKANA NA MUZIKI HUO.
NI MSANII ALIYE LETA MAPINDUZI MAKUBWA KATIKA MUZIKI HASAHASA KATIKA SHOW ZA STEJINI YAANI LIVE PERFORMANCE .NI MSANII ANAYE LIPWA PESA NYINGI KWA SASA TANZANIA KWA SHOW MOJA ANAYO FANYA.PIA NI MSANII MWENYE SHOW NYINGI KWA MWEZI KULIKO WOTE,.HII IMECHANGIA KUWEZA KUPATA PESA NYINGI KATIKA MDA MFUPI.ANAMILIKI NYUMBA KADHAA,VIWANJA,MAGARI,MADUKA.
![]() |
DIAMOND |

GARI ANAYO MILIKI YENYE THAMANI YA TSH.MIL 60 |
![]() |
GARI ALIYO KUWA ANATEMBELEA MWANZO |

2. LADY JAY DEE
NI MSANII MWENYE HESHIMA SANA TANZANIA KUTOKANA NA KUJIHESHIMU KWAKE,KAPATA MAFANIKIO SANA KATIKA KAZI ZAKE ZA MUZIKI NA KUWEZA KUWA MFANO WA KUIGWA KWA WASANII WENGINE.KWANI UCHAPA KAZI WAKE NDO SABABU YA MAFANIKIO YAKE KIMAISHA.
MALI ANAZOMILIKI NI PAMOJA NA -GARI AINA YA MURANO THAMANI YA
TSH.MIL 45, BASI AINA YA COSTA TSH.MIL.30, PRADO, NYUMBA NZURI YA KISASA,PAMOJA NA MGAHAWA WA NYUMBANI LONGE WENYE THAMANI YA ZAIDI YA TSH.MIL.150 PIA ALIANZISHA MAJI YAKE YA JAY DEE AMBAYO BAADAYE YALIZUIWA.

![]() |
NYUMBANI LONGE KWA NDANI |
![]() | |
|
MAJI YA JAY DEE |
![]() |
NYUMBA YA KISASA ANAYOISHI |
![]() | |
BASI KWA AJILI YA BAND YAKE YA MACHOZI BAND |
3.AY
AY NI MSANII MKIMNYA SANA NA HUWA HAWEKI MAMBO YAKE HADHARANI SANA HASAHASA YA MAISHA YAKE.LAKINI NI MSANII MWENYE PESA NYINGI KUTOKANA NA KUFANYA SHOW NYINGI ZA KIMATAIFA ZINAZO MPATIA PESA NYINGI.ANAMILIKI MAGARI,ANA DUKA LA NGUA,PIA ANA NGUO ZAKE MAALUMU ZENYE NEMBO YA JINA LAKE.
4.PROF J
NGULI WA MUZIKI WA BONGO FLEVA TANZANIA,ANAFANYA SHOW NYINGI ZA NJE,NI MSANII AALIYE DUMU KWA MDA MREFU,ANAMILIKI NYUMBA YA KISASA YA ZAIDI YA TSH.MIL 100, ANAMILIKI GARI,MASHAMBA
PROF.J |
![]() |
NYUMBA YA PROF J |
![]() |
MBELE YA NYUMBA |
Profesa ameshindwa kusema amewekeza kiasi gani cha fedha kwenye studio hio ila fahamu kuwa vifaa vilinunuliwa kwa wakati tofauti na ni vifaa vya hali ya juu sana.
![]() |
AINA YA GARI ANAYO TEMBELEA |
![]() |
KWA NDANI |
![]() | |||
KWA NJE |
Profesa Jay akinionyesha jina la Saloon yake iliyoko Msasani mbele karibu
ni mitaa ilipokuwa Irish Pub
5.JUMA NATURE

HABARI MPYA

Na Happiness Katabazi — MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetengua adhabu ya kifungo cha mwaka mmoja jela iliyotolewa na Mahakam...
.jpg)
Nime vumilia aibu hii lakini nimeshindwa na hivyo nimeamua niwe muwazi ili niweze kusaidiwa.Sihitaji msaada ...

ZITTO KABWE KUFUNGA SAFARI YA KWENDA USWISS NA UINGEREZA KUFUATILIA MABILIONI YALIYOFICHWA HUKO...!!
Mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha Deokrasia na Maendeleo (Chadema) Ndg. Zuberi Zitto Kabwe. Shirika la Kimataifa la M...

Vitendo vya ukatili wa kijinsia viko vingi na vya aina tofauti tofauti. Kuna wanawake wengine wanafanyiwa vitendo hivi bila kujua kuwa ni kinyume...

Hawa ni vijana wa kitanzania 11 ambao walikamatwa na jeshi la polisi Mtwara baada ya ...

HATUA ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kutaja hadharani mshahara wa Rais na Waziri Mkuu, imechukua sura mpya baada ya Chama cha Wafanyakaz...

Siku chache baada ya kuanzisha ukaguzi wa magari na watu wanaoingia katika maduka ya Mlimani City, ukaguzi huo sasa umesitishwa. ...

MWIGIZAJI wa filamu Bongo, Mayasa Mrisho ‘ Maya ’ amefunguka kuwa wale waliozusha kuwa amechumbiwa, watasubiri sana kwani suala la ndoa kwake bado h...

INAUMA sana! Mtuhumiwa wa unyongaji wa mwanamke aliyeelezwa kuwa ni mke wa kigogo wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Ana Mbago amenaswa kufuatia tukio...
ANGALIA VIDEO HAPO CHINI.......

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Aziz Abood ambaye ndiye mmiliki wa Kituo cha Abood Media alipokuwa akifanya kazi marehemu Nyaisangah akimpa mkono...

Wakati ikisubiriwa ripoti ya uchunguzi wa Tume Maalumu iliyoundwa kwa Azimio la Bunge kuchunguza kashfa ya vigogo walioficha Sh323.4 bilioni katika...
Popular Posts
- KATIKA hali ya kushangaza, staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja amenaswa akiwa ametinga khanga moja na kuwaacha watu midomo wazi...
- Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawi...
- WABONGO walisema nabii asifiwi kwao, hicho ndicho kilichomtokea msanii wa muziki wa bongo fleva Nassib Abdul, maarufu kwa jina la Diamond ...
- Julius Nyaisanga a.k.a Anko J (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mkongwe Mwenzie,Aboubakar Liongo HABARI zilizotufikia ...
- Wema Sepetu mwenyewe anajua kwamba watu wengi wanafikiri yeye anawaza kuwa na Diamond hivi sasa, lakini ametoa majibu ya hayo mawazo k...
- Takribani week sasa habari kubwa kuhusu mastaa Bongo ni story ya Diamond na Wema ,kurudiana ambapo habari hizo bado ni tata kutokan...
- Baadhi ya ndugu wa marehemu Anthery Mushi wakilia kwa uchungu walipokuwa wakitoa salamu za mwisho Muhimbili leo. Baadhi ya ndugu,...
- Kutana na mwendelezo wa mwanamama flora Lymo ni mtanzania anayeishi nje ya nchi ambaye yuko kwenye "SERIES" ya kupiga a pic...
- 1. DIAMOND KWA ZAIDI YA MIEZI MITATU TIMU NZIMA YA THECHOICE ILIWEZA KUFANYA UTAFITI KWA KINA JUU YA KUFAHAMU WANAMUZIKI WA BONGO ...
- MSANII wa filamu nchini Tanzania Elizabeth Michael, maarufu kwa jina la (Lulu) ameonyesha kufurahishwa na tukio la wanaume wengi wenye ...